- Видео 27 198
- Просмотров 112 311 084
Uhondo TV
Танзания
Добавлен 28 июл 2017
KANUNI NA MUONGOZO YA UHONDO TV
Uhondo TV Online ni chombo cha habari kinachozingatia weledi na maadili yanayoongoza katika tasnia ya habari. Tumejikita katika kuripoti taarifa zote za kijamii ikiwemo habari za kitaifa, kimataifa, michezo, burudani n.k. Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
i. Kuripoti habari za ukweli wakati wote
ii. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa jamii ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu kwa wakati sahihi.
iii. Kufuata kanuni na misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
MUONGOZO:
Wafuasi wetu (subscribers)
i.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
ii. Uhondo TV ina uhuru wa kufuta maoni yoyote yasiyo na maadili au yenye lugha chafu
iii. Uhondo TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni.
iv. Uhondo TV haitahusika moja kwa moja na maoni yatolewayo na wafuasi wetu ikiwemo lugha zisizofaa n.k
Uhondo TV Online ni chombo cha habari kinachozingatia weledi na maadili yanayoongoza katika tasnia ya habari. Tumejikita katika kuripoti taarifa zote za kijamii ikiwemo habari za kitaifa, kimataifa, michezo, burudani n.k. Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
i. Kuripoti habari za ukweli wakati wote
ii. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa kwa jamii ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu kwa wakati sahihi.
iii. Kufuata kanuni na misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
MUONGOZO:
Wafuasi wetu (subscribers)
i.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
ii. Uhondo TV ina uhuru wa kufuta maoni yoyote yasiyo na maadili au yenye lugha chafu
iii. Uhondo TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni.
iv. Uhondo TV haitahusika moja kwa moja na maoni yatolewayo na wafuasi wetu ikiwemo lugha zisizofaa n.k
"RAIS SAMIA HAWEZI KUUZA NCHI, WANASEMA HANA JEMA NA BARA, HANA HURUMA NA BARA, KATAENI" KINANA
#UhondoTV #Uhondo
Просмотров: 3 341
Видео
"HOVYO, HALIWEZEKANI,KATAENI HIYO SUMU, CCM HATUKATAI KATIBA MPYA" KINANA ATEMA NYONGO
Просмотров 5829 часов назад
#UhondoTV #Uhondo
KINANA AWA MKALI KAULI ZA CHADEMA "HATUKUBALI KUSHTUMIWA, KATIBA MPYA YAIBULIWA UPYA
Просмотров 6 тыс.10 часов назад
#UhondoTV #Uhondo
"TUMIENI TV HIZI KWA KUSIKILIZA HABARI ZA KITAIFA SIO MAMBO MENGINE" NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR ABDI
Просмотров 12711 часов назад
#UhondoTV #Uhondo
"DUMISHENI UMOJA WENU" JOKATE AMUENZI HAYATI MAGUFULI, ATAJA MAMBO MAZITO YA RAIS SAMIA
Просмотров 57211 часов назад
#UhondoTV #Uhondo
WALIOVUNJA NYUMBA NA KUIBA WANASWA NA POLISI, WENGINE NI MATAPELI, KAMANDA MULIRO AELEZA
Просмотров 1,7 тыс.2 часа назад
#uhondotv #uhondo
MANENO MAZITO YA JOKATE ''MSIDANGANYIKE/ KAZI INAENDELEA KWA VITENDO/ MWENYE MACHO AAMBUIWI TAZAMA"
Просмотров 2182 часа назад
#UhondoTV #Uhondo
HII NI KUBWA KULIKO HAIJAWAHI KUTOKEA, WATOTO WAFANYA KUFURU, TAZAMA WALIYOYAFANYA
Просмотров 1912 часа назад
#UhondoTV #Uhondo
MABUNGE MALIMA AIBUA MAZITO BUNGENI ''WAFANYA BIASHARA FEKI/ WANALANGUA"
Просмотров 2742 часа назад
#UhondoTV #Uhondo
MWAMBE ASHINDWA KUVUMILIA MBELE YA WAZIRI BASHE "HALI YA WANANCHI HATUIONI/ TUMEKUBALIANA"
Просмотров 5912 часа назад
#UhondoTV #Uhondo
IMEFICHUKA; WAZIRI BASHE ATOBOA SIRI ALICHOAMBIWA NA RAIS SAMI KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUAPISHWA
Просмотров 1,1 тыс.2 часа назад
#UhondoTV #Uhondo
NDOTO YA KUTISHA, MAMA AANIKA MAMBO MAGUMU NA MAZITO, UCHAGUZI 2025/ AWATAJA MAWAZIRI HAWA
Просмотров 18 тыс.2 часа назад
#UhondoTV #Uhondo
HII NI KUBWA; MREMBO AFANYA TUKIO ZITO, AIGUSA SERIKALI YA RAIS SAMIA
Просмотров 2832 часа назад
#UhondoTV #Uhondo
HII NDIO SERIKALI YA RAIS SAMIA YAZIDI KUFANYA MAKUBWA, URITHI WA DUNIA KUTIKISA DODOMA
Просмотров 3102 часа назад
#UhondoTV #Uhondo
WAZIRI MWIGULLU ATEMA CHECHE BUNGENI "HAIWEZI IKAWA SHUGHULI YA WAZEE"
Просмотров 3114 часа назад
WAZIRI MWIGULLU ATEMA CHECHE BUNGENI "HAIWEZI IKAWA SHUGHULI YA WAZEE"
KIBAJAJI ATEMA NYONGO "NAWATAHADHARISHA SURA ALIYOINGIA NAYO SPIKA LEO / MNAWEZA MKAPOTEANA"
Просмотров 2,7 тыс.4 часа назад
KIBAJAJI ATEMA NYONGO "NAWATAHADHARISHA SURA ALIYOINGIA NAYO SPIKA LEO / MNAWEZA MKAPOTEANA"
MAMBO MAZITO SILINDE AFUNGUKA MBELE YA WAZIRI BASHE "WANATAKA KUONA MATOKEO"
Просмотров 9934 часа назад
MAMBO MAZITO SILINDE AFUNGUKA MBELE YA WAZIRI BASHE "WANATAKA KUONA MATOKEO"
MADIWANI CCM WATIWA MBARONI,MEYA ALIYEIBA ATANGAZIWA VITA NA WAZIRI BASHE "HATA NDUGU YANGU AKAMATWE
Просмотров 12 тыс.4 часа назад
MADIWANI CCM WATIWA MBARONI,MEYA ALIYEIBA ATANGAZIWA VITA NA WAZIRI BASHE "HATA NDUGU YANGU AKAMATWE
MBUNGE CONDESTER AFOKA VIKALI BUNGENI, "HUU NI UUWAJI NA WIZI KAMA WIZI MWINGINE, WAHUJUMU UCHUMI"
Просмотров 4,1 тыс.4 часа назад
MBUNGE CONDESTER AFOKA VIKALI BUNGENI, "HUU NI UUWAJI NA WIZI KAMA WIZI MWINGINE, WAHUJUMU UCHUMI"
MBUNGE BAHATI NDINGO AMPA TANO RAIS SAMIA "SERIKALI IMETUTENDEA HAKI/SHAMBA LIRUDISHWE KWA WANANCHI"
Просмотров 1954 часа назад
MBUNGE BAHATI NDINGO AMPA TANO RAIS SAMIA "SERIKALI IMETUTENDEA HAKI/SHAMBA LIRUDISHWE KWA WANANCHI"
MBUNGE MATHAYO MANYINYI AFUNGUKA MAZITO BUNGENI, WALENGWA WA BBT, VYAMA VYA USHIRIKA NI KAA LA MOTO
Просмотров 3354 часа назад
MBUNGE MATHAYO MANYINYI AFUNGUKA MAZITO BUNGENI, WALENGWA WA BBT, VYAMA VYA USHIRIKA NI KAA LA MOTO
RAIS SAMIA ATOA BIL 5 KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA - LINDI
Просмотров 2854 часа назад
RAIS SAMIA ATOA BIL 5 KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA - LINDI
PROF.NDAKIDEMI AZUA GUMZO BUNGENI ATOA USHUHUDA HUU HADHARANI "TUSIWE NA UKIRITIMBA"
Просмотров 6184 часа назад
PROF.NDAKIDEMI AZUA GUMZO BUNGENI ATOA USHUHUDA HUU HADHARANI "TUSIWE NA UKIRITIMBA"
NAIBU WAZIRI KATIMBA AFUNGUKA YA MOYONI "MSIWAFICHE WATU WENYE ULEMAVU,WANAHAKI KAMA WENGINE "
Просмотров 994 часа назад
NAIBU WAZIRI KATIMBA AFUNGUKA YA MOYONI "MSIWAFICHE WATU WENYE ULEMAVU,WANAHAKI KAMA WENGINE "
MBUNGE KIMEA AFUNGUKA MAKUBWA KWA WAZIRI BASHE, AWAPIGANIA WANANCHI KUUZA MAZAO NJE
Просмотров 2504 часа назад
MBUNGE KIMEA AFUNGUKA MAKUBWA KWA WAZIRI BASHE, AWAPIGANIA WANANCHI KUUZA MAZAO NJE
MBUNGE BENAYA KAPINGA AMLIPUA WAZIRI BASHE BUNGENI "ULIPOTEANA, HAWATAKI KUSIKIA, ZINAWAPA JEURI"
Просмотров 5784 часа назад
MBUNGE BENAYA KAPINGA AMLIPUA WAZIRI BASHE BUNGENI "ULIPOTEANA, HAWATAKI KUSIKIA, ZINAWAPA JEURI"
VITA KALI MWAKAGENDA NA WAZIRI BASHE "NAMASHAKA NA TEAM YAKO/ MASOKO NI SHIDA/KWA MACHO YA NANI?"
Просмотров 6744 часа назад
VITA KALI MWAKAGENDA NA WAZIRI BASHE "NAMASHAKA NA TEAM YAKO/ MASOKO NI SHIDA/KWA MACHO YA NANI?"
MBUNGE MBUNDA BILA HURUMA AMBANANAISHA WAZIRI "LINI UTAANZA KUTEKELEZWA?''
Просмотров 1454 часа назад
MBUNGE MBUNDA BILA HURUMA AMBANANAISHA WAZIRI "LINI UTAANZA KUTEKELEZWA?''
KATANI AFICHUA MADUDU BUNGENI "SERIKALI IKO KIMYA, WAZIRI NA BODI MNASHIRIKI, WIZI NA HUJUMA"
Просмотров 4,2 тыс.4 часа назад
KATANI AFICHUA MADUDU BUNGENI "SERIKALI IKO KIMYA, WAZIRI NA BODI MNASHIRIKI, WIZI NA HUJUMA"
Haya wale mnaomwongelea Makonda mteteeni tena hata kwenye haya. Kiukweli ni kuwa viongozi tulionao madarakani na hata wale waliostaafu, hakuna hata mmoja wa kuweza kuisaidia nchi hii tena, waachieni wapinzani. Ninyi mmeshashindwa na mmeshachokwa. Watz hawawataki tena, wote mnajua sababu. Kama ni kuendelea na uongozi, basi labda iwe kwa kulazimisha! Vinginevyo No more Chance!!!!
Mamlaka mungu kawpa manatumia vibaya mshibe nyietu tukiiuzua uji matakapesa mkikaa kwènye vikao matakapesa tukiumwa mnataka pesa tukifa nataka oesa
CCM, mungu anawaona tu, kila Rais akija barabara, maji, madaraja, elimu, ajira, vitega uchumi vyote piga bei, sasa bandari weka rehani kwanza, mmebaki na sgr nayo hajui hatima yake, maisha kwa raia tabu, maharage, sukari, Mchele shida tupu, vijana mtaani kibao eti bodaboda? baada ya watakuwa na mguu mmoja wengi!!!! Vifua kuumwa, wabunge wengi wazee, na watendaji wa Rais hawataki kuachia madarakani, semfue, Kinana, mkuchika, shigella, wasira, kimbisa, lukuvi na n.k mpaka lini? Kuna jipya kweli.....
Mungu anawaona na siasa zenu ss tunatanka huo mkate msile pekeyenu
Tunataka maenndeleo Tannzania zanziba ni Tanzania nyie wana siasa manatuumiza
Saf mbunge wangu wa mreba kaskazini
Nonsense!
We mzee achana na USA, je wewe unaweza kutangaza matokeo kama Kenya? Wewe mzee umechoka eti matakwa ya siasa sio matakwa ya wananchi, siasa na wananchi ni pamoja, unaturudisha nyuma pisha hicho kiti umri ueenda.
Rais na makamu wa Rais wa Somalia wamezipiga?
Huyu akili ya kutuambia tuna uhuru mkubwa anaitoa wapi? Wakati ni immigrant?
Safi saana kuna kit ndan yako
Nyie hamtendi haki ripoti ya Cag imetoa ripoti ya mijizi kwanni msiwatumbue kama Magufuli nyie mnalea wezi humo ndani ya ccm mijizi kubao
Wa watumbue wa kina nani wakati ni wao
Katiba hata Ccm wenyewe wanaitaka wasioitaka ni wale wezi lakini maskini wanaitaka sanaaaa maana hatuna haki zinazotendeka dhulumati ziko kila kona rushwa nyingi sekta zote kwanini mnakataa Katiba ya Warioba isifuatwe kuna nini
Nimesoma coment bila shaka huyu mama ametumwa na ubongo wake
Watu mna comment maelezo sahihi kumekuwa na siasa chafu za kupandikiza chuki ukweli mh. Abrahman O Kinana Leo umeongea vyema Sana . Serikali ya awamu ya tatu ilibinafsisha mambo mengi , viwanda ,majengo ,kwa kuhisi serekali ingefanikiwa kimaslahi .wanaojaribu kumchafua rais kwanza walikimbia nchi kwa hofu ya usalama wao , leo nchi inautulivu kwao wanawaza kuchonganisha watu . Kiukweli unaona kabisa watu hao walivyokosa hoja mpaka unajiuliza ni lipi jema wao wanalifurahia ? Aliondoka kipenzi Cha watu kiongozi awamu ya tano alijitahidi Sana kuleta usawa na kuboresha maendeleo ya nchi ndo wanamzungumza vibaya sana hawajui kama watu wanampenda pamoja kuwa hayupo , mazuri anayofanya rais Dr. Samia ni makubwa Sana na ukweli rais ni mpambanaji tena mwenye malengo makubwa ya kuboresha nchi watu waache siasa za uchonganishi
Mama unaweza ukawa unazungumza kupitia mungu,akusimamie
UNGESWMA MUNGU KACHUKIZWA NA MAUAJI YA PAKESTINA NA IZRAIL WEWE MUNGU WAKO KAKUJIA KUKUAMBIA YA MAKONDA HAJAKUAMBIA YA KIMBUNGA AU YA MAFURIKO DU HETI WEWE MALAIKA TANGU DUNIA IUMBWE HAKUNA MWANADAM ALIJIFANANISHA NA MLAIKA ILA NAJUA WALIJIFANANISHA NA MITUME WEWE NA MUME WAKO NI KIBOKO
Hii ndio tanzani sasa kwrli kila mtu yupo anajuwa mungu sana ila kivyangu mimi sisrmi kitu ilaa mmmh hii kama vile watu bana
JAMANI HUYU NI CHADEMA ILA MUNGU ANAONGELEA UCHAGUZI WA TANZANIA NA MAKONDA DU KAJIPANGE MALAIKA ANAZAA NA KUFANYA MAPENZI DU WACHA UJINGA HUYU AJITAMBUI
Magufuli alikufa mkajidai kubebana na ndoa yenu ya Mkeka now mko wapi mmeanza kugeukana Walafi nyie. Tena wewe ulijiudhuru kisa umebanwa na Mzee JPM baadae umerud kufuata asali. Huoni ata aibu
Hoja za lisu bado hajakipatia. Kuna katiba ya Zanzibar na ya Tanzania. Je? Katiba yetu Tanganyika Iko wapi? Mh lisu alisoma katiba ya Zanzibar wewe kinana unasoma na kufafanua katiba Ipi? Lisu yuko sahihi kaeni vizuri mtafakari kwa nini hamhitaji katiba mpya? Mkishapata jibu ndipo mtoe majibu mazuri kwa wanachadema au watanzania kwa ujumla. Hii nchi yetu mnaofaidi ni nyie akina kinana. Madini mafuta gesi makaa ya mawe mbuga zetu wanyama kama tembo faru swala ngurue pori na nk. Mmezidi ulafi hii nchi yetu tumebarikiwa sana lakini uongozi ambao ni makini haujapatikana. Tunahitaji katiba mpya ili mambo yakae sawa na kiongozi aweze kuwajibika pindi afanyapo kosa.
Malaika ana watoto watatu du!
Katiba mnataka iwe lini wakat rasim ya katiba ipo mnataka nini
Mmekoment vyakusha nakpment zenuzote nikumtaka kinana atoemajb kuusu muungano pamoja na zanzibar kuwanarais alafu tanganyika aina bila kusaau katiba mpya je otuba yote yakinana imetoa majb au kaendelea napropagandazake kama kawaida yake na watanzania wenzangu msimlaumu kinana tu pekeaka ojazinazotolewa na viongozi waupinzan Akuna kiongozi atammoja wa ccm anaewezakujb kwaiyo kama mnatefemea majb kwakinana ndioayoapo sasa tujifunze
Mzee kinana unapoteza mda watanganyika tunajitambua sana, Kwan mzee hujatosheka tu na hela, mtaimaliza inchi nyie kila kitu wapo wawekezaji kwa miaka isiyo isha, lissu na chadema ni ukomboz wa nchii hii
Kwamaoni yagu iwekwe sheria iliiweze kulida kauli kama hizo zakuambiana hivo mara muzanzibar mara ana toka Bara naiwe nisheria kila anae jiita mwana Sasa achuge kutega au kubagua watu kwakauli kama hizo
Mzee usipeleke mbali lami iliouzwa ilikua nikwajili yakuchenga uwanja wandege wasumbawanga ,je samia alikuwepo
Magufuli. alisema tumwamini samia maana nimama mchapa kazi naniukweli bila uongo miradi mikubwa,inatekelezwa na inakamilika
Tatizi la BANDARI ni mkataba hauna kikomo tuletee mkataba sio maneno mepesi hi vi
Huwezi Jenga taifa linalojitegemea kwa kutumia wawekezaji au sekta binafsi, msipoachana na sera hii inayohamishisha rasilimali za nchi kutoka kwa umma kwenda kwa wachache wenyemitaji mnarudisha utumwa, lengo la uhuru sio tupate Kodi za kujengea mashule barabara,na hospitali, ni wtz waendeshe na kumiliki rasilimali zao, wtz wanahitaji kiongozi WA kutupeleka mwelekeo huo. Msipo badili sera hiyo inahatarisha uwepo WA ccm. Nyerere alishatabiri
Saf tatizo la ccm wametugeuza watanzania kua bado tuko kulekule kwamkoloni yani atujitambui kinana amshatuambia tayaliwameshafanya mabadiliko kwenye Shelia za uchaguzi ivinyiewezangu mumemuelewa kweli
mzee hata sijakuelewa kabisa yaan katiba mmekubali ila hamjui itapatikana lini kifupi ungetulia tu huwezi kuwajibu chadema bado kajipange
Yalitizamwa ki CCM na si kisheria
Mlisema hatioongea sasa vpi
Hatudanganyiki tunataka katiba
Sisi tuna lala na jaa
TUNATAKA KATIBA MPYA TUNATAKA TANGANYIKA YETU
Sipendi kuongea siasa lakini Watanzania wengi Sasa hivi tunajielewa. Tunajua lipi baya na lipi sahihi. Ukitumia nguvu kubwa kujiosha, tunaamini ni kweli umechafuka. Leteni maendeleo kwa watanzania wote bila magap. CCM over 60 yearsnatumia nguvu kubwa kufanya unyonyaji na Kuutetea unyonyaji huo kwa nguvu. Maendeleo ni muhimu kuliko maneno. Russians, Chinese, Iranians, Arabs, etc don't talk too much, they mostly operational.
Uhuru wa kikatiba RIPOTI ZA CAG VP
Kinana inatosha mda uongo
Acheni unafki maccm
Mzee Katina Ni ya ccm?
Katina mpya lini?
Jamani babu sialistahafu
Miongoni mwa watu ambao taifa haliwezi kujivunia ni wewe,
Lini katiba au 4000
Wee Ni mnafki
Binafsi sipendi uchochezi ila hata mimi nipo bara bara ila kwani kama kweli ni Muungano ulio vizuri ipo wapi haki ya Tanzania bara kama ilivyo Zanzibar wana Rais na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar je, Tanganyika iko wapi. Ndo tunajisikia vibaya vitu vinapanda huku bara lkn kule bei che nani wa kuitetea Tanganyika?
Watanzania tunatama katiba mpya itakayo wawajibisha viongozi wazembe tumeona uzembe kwenye rippti ya c.a.g na irudishe uwJibikaji kwa wananchi
Wewe mzee umeshazeeka sana mpaka mashavu yameumka lakini bado unataka kuiba na hufai tena kuwa kiongozi na hoja zako za hovyo hovyo
Mizuka ya ndovu inalia babu tunakusubiri sana huku